Profit every 10 minutes!" https://coin-farm.com/account/promo#:~:text=%3Ca%20href%3D%22https%3A//coin%2Dfarm.com/%3Fen%3Dhyam27%22%20target%3D%22_blank%22%3E%0A%3Cimg%20src%3D%22https%3A//coin%2Dfarm.com/images/promo/en/728x90.gif%22%0Aalt%3D%22Profit%20every%2010%20minutes!%22%3E%3C/a%3E

Selfie ya Zari akionesha Mimba yake...Diamond afunguka.

Bongo fleva super staa Diamond Platnumz ameweka wazi kuwa anatarajia kupata mtoto wa kiume na kwamba angependa mashabiki wake watoe mitazamo yao juu ya jina gani ampe mtoto wake.
Baadhi ya picha za Mpenzi wa Diamond Platnumz, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ alizotupia mtandaoni zilionyesha vizuri mimba yake. Mastaa hao wanatarajia kupata mtoto wa pili na mpenzi wake mkali wa wimbo ‘Kidogo’, Diamond Platnumz.

Mpaka sasa tunafahamu kuwa mwezi Decemba ndio Zari atajifungua mtoto huyu wa pili.Kupitia instagram yake Diamond aliandika hivi…

“Looking so sexy, my Beautiful and cute Wife @zarithebosslady???? ????!!!… Please tell what would you like me to name my Upcoming Son?…(Tafadhali niambie Mtoto wangu wa kiume unadhani akija nimwite jina gani…?)”
Selfie ya Zari akionesha Mimba yake...Diamond afunguka. Selfie ya Zari akionesha Mimba yake...Diamond afunguka. Reviewed by on 11:01:00 PM Rating: 5

No comments: